Refa Mike Dean aliwapa penalti Manchester United baada ya kiungo Marouane Fellaini kuupiga mpira kichwa ukagusa kwenye mkono wa Chancel Mbemba Newcastle usiku wa jana Uwanja wa St James Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya 3-3. Mabao ya Man United yalifungwa na Nahodha Wayne Rooney kwa penalti dakika ya tisa, dakika ya 79 na Jesse Lingard dakika ya 38, wakati ya Newcastle yalifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 42, Aleksandar Mitrovic dakika ya 67 kwa penalti na Paul Dummett dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag promises to keep Kobbie Mainoo in line after his England
exploits... as the Man United boss insists he 'wasn't surprised' the
midfielder shone for the Three Lions
-
CHRIS WHEELER: Erik ten Hag says Manchester United will intervene if the
hype around Kobbie Mainoo ever threatens to go to the player's head.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment