Refa Mike Dean aliwapa penalti Manchester United baada ya kiungo Marouane Fellaini kuupiga mpira kichwa ukagusa kwenye mkono wa Chancel Mbemba Newcastle usiku wa jana Uwanja wa St James Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya 3-3. Mabao ya Man United yalifungwa na Nahodha Wayne Rooney kwa penalti dakika ya tisa, dakika ya 79 na Jesse Lingard dakika ya 38, wakati ya Newcastle yalifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 42, Aleksandar Mitrovic dakika ya 67 kwa penalti na Paul Dummett dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mo Salah can rediscover his old magic with Egypt, insists national team
boss - and says Liverpool star's morale is higher than ever
-
BY LEWIS STEELE IN AGADIR: Mohamed Salah acts with the energy of a teenager
on his first-ever football camp, according to his Egypt boss who says he is
one...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment