Neymar akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kusawazisha dakika ya 58 katika sare ya 2-2 na Colombia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hard Rock mjini Miami, Marekani. Bao la kwanza la Brazil lilifungwa na Casemiro dakika ya 19, wakati ya Colombia yote yalifungwa na L. Muriel dakika ya 25 kwa penalti na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES PLAYER RATINGS - THIRD TEST: England duo each given a TWO after
'mental disintegration' in Adelaide while Australian hero nearly scores a
perfect 10 - but his team-mate is 'out of his depth'
-
LAWRENCE BOOTH IN ADELAIDE: England's quest to win an Ashes series Down
Under has failed once again after losing the third Test by 82 runs to
condemn them ...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment