Neymar akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kusawazisha dakika ya 58 katika sare ya 2-2 na Colombia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hard Rock mjini Miami, Marekani. Bao la kwanza la Brazil lilifungwa na Casemiro dakika ya 19, wakati ya Colombia yote yalifungwa na L. Muriel dakika ya 25 kwa penalti na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Covid-19 vaccination: No side effects reported so far
-
By the end of business on the first day of Covid-19 vaccination in Rwanda a
total of 75,056 people had been vaccinated, and so far, according to the
Rwan...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment