Willian (katikati) akishangilia baada ya kufunga mabao matatu katika ushindi wa Chelsea wa 8-2 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu Uwanja wa Cobham usiku wa leo. Mabao mengine ya mabingwa hao wa England yamefungwa na Michy Batshuayi mawili sawa na Remy, huku Azpilicueta akifunga moja na kujifunga moja, huku bao bao lingine la Fulham akifunga Johansen PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag promises to keep Kobbie Mainoo in line after his England
exploits... as the Man United boss insists he 'wasn't surprised' the
midfielder shone for the Three Lions
-
CHRIS WHEELER: Erik ten Hag says Manchester United will intervene if the
hype around Kobbie Mainoo ever threatens to go to the player's head.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment