Willian (katikati) akishangilia baada ya kufunga mabao matatu katika ushindi wa Chelsea wa 8-2 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu Uwanja wa Cobham usiku wa leo. Mabao mengine ya mabingwa hao wa England yamefungwa na Michy Batshuayi mawili sawa na Remy, huku Azpilicueta akifunga moja na kujifunga moja, huku bao bao lingine la Fulham akifunga Johansen PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Chelsea fans 'stabbed' in Naples after being 'chased by 25 ultras',
with one victim sharing picture of his blood-soaked hand as club warn
supporters to take extreme caution
-
Two Chelsea fans have 'been stabbed' in Naples and are being treated in
hospital for non-life-threatening injuries. One supporter posted a picture
of his b...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment