Wachezaji wa Tottenham Hotspur wakimpongeza mwenzao, Toby Alderweireld baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 82 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Paris Saint Germain Uwanja wa Camping World mjini Orlando, Florida, Marekani. Mabao mengine yamefungwa na Christian Eriksen dakika ya 11, Eric Dier dakika ya 18 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 88, wakati ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani dakika ya sita na Javier Pastore dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
41 seconds ago
0 comments:
Post a Comment