Frank Kessie akishangilia na mchezaji mwenzake, Patrick Cutrone baada ya wote kufunga katika ushindi wa AC Milan wa 4-0 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana Uwanja wa Shenzhen Universiade Sports Centre mjini Shenzhen katika mchezo wa kirafiki. Kessie alifunga dakika ya 14, Cutrone dakika za 25 na 43, wakati bao la nne lilifungwa na Hakan Calhanoglu dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment