• HABARI MPYA

    Sunday, July 23, 2017

    PEP AMSAINI DANILO WA REAL MADRID MIAKA MITANO MAN CITY

    Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola akimkabidhi jezi ya timu hiyo mchezaji mpya, beki wa pembeni, Mbrazil, Danilo (kaatikati) baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 27 kutoka Real Madrid akisaini mkataba wa miaka mitano PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PEP AMSAINI DANILO WA REAL MADRID MIAKA MITANO MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top