• HABARI MPYA

    Sunday, July 02, 2017

    SIMBA SC ENZI HIZO AZIM DEWJI ANAPIGA ‘NAMBA 12’ ILIKUWA STAREHE

    Kikosi cha Simba SC mwaka 1993 kutoka kulia waliosimama ni; Rashid Abdallah, Malota Soma, Mwameja Mohammed, George Masatu, Deo Mkuki na mfadhili Azim Dewji. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Iddi Suleman ‘Meya’, Duwa Said, Ramadhani Lenny (marehemu), Hussein Marsha, Fikiri Magoso na Edward Chumila (marehemu) 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC ENZI HIZO AZIM DEWJI ANAPIGA ‘NAMBA 12’ ILIKUWA STAREHE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top