Jeff Horn (kushoto) akiugulia maumivu ya konde la Mfilipino Manny Pacquiao (kulia) katika pambano la uzito wa Welter asubuhi ya leo Uwanja wa Suncorp mjini Brisbane, Australia. Pacquiao ametawala pambano na kumzidi kila mwenyeji, lakini ajabu Horn amepewa ushindi na majaji wote baada ya raundi 12 (117-111, 115-113 na 115-113). Kwa matokeo hayo Pacquiao amepoteza mkanda wake wa WBO na uwezekano wa kurudiana na Mmarekni Floyd Mayweather Jnr sasa ni mdogo baada ya kupoteza pambano la saba kati ya 68, akiwa ameshinda 59 na sare mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Banished Chelsea star returns to first team training under Liam Rosenior
after almost a year in exile, leaving £325,000-a-week outcast Raheem
Sterling as last member of club's 'bomb squad'
-
KIERAN GILL: Disasi had been working separately under Rosenior's
predecessor Enzo Maresca, with Tuesday marking exactly a year since the
27-year-old last a...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment