Jeff Horn (kushoto) akiugulia maumivu ya konde la Mfilipino Manny Pacquiao (kulia) katika pambano la uzito wa Welter asubuhi ya leo Uwanja wa Suncorp mjini Brisbane, Australia. Pacquiao ametawala pambano na kumzidi kila mwenyeji, lakini ajabu Horn amepewa ushindi na majaji wote baada ya raundi 12 (117-111, 115-113 na 115-113). Kwa matokeo hayo Pacquiao amepoteza mkanda wake wa WBO na uwezekano wa kurudiana na Mmarekni Floyd Mayweather Jnr sasa ni mdogo baada ya kupoteza pambano la saba kati ya 68, akiwa ameshinda 59 na sare mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's 'Wembley' tweet IMMEDIATELY after rivals City lose on
penalties to Real Madrid has fans in stitches as the Red Devils prepare for
FA Cup semi-final with Coventry
-
Manchester United's 'Wembley' tweet immediately after Man City lost on
penalties had fans in stitches on Wednesday night.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment