SAMATTA ALIVYOREJEA KAZINI ULAYA JANA BAADA YA MAPUMZIKO
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram sambamba na maelezo; "Narudi kazini", akimaanisha anarejea katika klabu yake, KRC Genk nchini Ubelgiji baada ya mapumziko ya takriban mwezi mmoja nyumbani kufuatia kumalizika kwa msimu uliopita
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment