• HABARI MPYA

    Wednesday, July 19, 2017

    LEICESTER YAING'OA KWA MATUTA WEST BROM HONG KONG

    Riyad Mahrez akifumua shuti kuifungia Leicester City bao la kusawazisha dakika ya 24, baada ya Jay Rodriguez kuifungia West Brom bao la kuongoza dakika ya 10 katika sare ya 1-1 Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Leicester ilishinda kwa penalti 7-6 katika Kombe la Ligi Kuu Asia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEICESTER YAING'OA KWA MATUTA WEST BROM HONG KONG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top