• HABARI MPYA

    Wednesday, July 19, 2017

    JUMA NYOSSO MAZOEZINI NA KAGERA SUGAR LEO KARUME

    Beki mpya wa Kagera Sugar, Juma Said Nyosso (kulia) akikimbia kwenye mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
    Kiungo mshambuliaji Ame Ally 'Zungu' akikimbia kwenye mazoezi ye leo Karume
    Beki anayeweza kucheza kama kiungo pia, Japhet Makalai akiondoka na mpira
    Kiungo mpya, Peter Mwalyanzi akipasua na mpira katikati ya wachezaji wenzake
    Wachezaji wa Kagera Sugar wakiongozwa na kipa mkongwe, Juma Kaseja wakikimbia mazoezini leo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JUMA NYOSSO MAZOEZINI NA KAGERA SUGAR LEO KARUME Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top