Beki mpya wa Kagera Sugar, Juma Said Nyosso (kulia) akikimbia kwenye mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Kiungo mshambuliaji Ame Ally 'Zungu' akikimbia kwenye mazoezi ye leo Karume
Beki anayeweza kucheza kama kiungo pia, Japhet Makalai akiondoka na mpira
Kiungo mpya, Peter Mwalyanzi akipasua na mpira katikati ya wachezaji wenzake
Wachezaji wa Kagera Sugar wakiongozwa na kipa mkongwe, Juma Kaseja wakikimbia mazoezini leo
Jayson Tatum, Celtics Ridiculed By NBA Fans for Game 2 Loss to Heat With
Butler Out
-
Shooting the lights out is a pretty good strategy to adopt when you're
missing your best player. The Miami Heat evened up their first-round NBA
playoff ser...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment