Beki mpya wa Kagera Sugar, Juma Said Nyosso (kulia) akikimbia kwenye mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Kiungo mshambuliaji Ame Ally 'Zungu' akikimbia kwenye mazoezi ye leo Karume
Beki anayeweza kucheza kama kiungo pia, Japhet Makalai akiondoka na mpira
Kiungo mpya, Peter Mwalyanzi akipasua na mpira katikati ya wachezaji wenzake
Wachezaji wa Kagera Sugar wakiongozwa na kipa mkongwe, Juma Kaseja wakikimbia mazoezini leo
Canucks Penalty Kill Has Been A Problem In 2026
-
The Vancouver Canucks have allowed 15 goals on the penalty kill so far in
2026.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment