• HABARI MPYA

    Tuesday, July 18, 2017

    JOE HART AJIUNGA NA WEST HAM UNITED KWA MKOPO

    Kipa wa Manchester City, Joe Hart akiwa ameshika jezi ya West Ham United baada ya kukamilisha uhamisho wa mkopo wa muda mrefu wa msimu. Hart anarejea England baada ya msimu uliopita kucheza kwa mkopo Torino ya Italia kwa mkopo pia kutoka Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JOE HART AJIUNGA NA WEST HAM UNITED KWA MKOPO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top