Beki wa kulia wa Tanzania, Boniphace Maganga akijaribu kuwapita wachezaji wa Rwanda katika mchezo wa kwanza wa mtoano kuwania tiketi ya Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) michuano inayohusisha wachezaji wanaocheza nchini mwao pekee. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza jana.
Nahodha wa Taifa Stars, Himid Mao (katikati) akikimbia na wenzake baada ya kufunga bao la kusawazisha
Kiungo wa Tanzania, Muzamil Yasson akiwatoka wachezaji wa Rwanda
Beki wa Tanzania, Gardiel Michael (kulia) akipaambana na mchezaji wa Rwanda
Kikosi cha Tanzania kilichoanza katika mchezo wa jana Kirumba
Kikosi cha Rwanda kilichoanza katika mchezo wa jana
Chargers GM Eyes More Than 'Fair Trade' to Deal No. 5 Pick in 2024 NFL Draft
-
The Los Angeles Chargers could be willing to give up their No. 5 pick in
next week's NFL draft, but general manager Joe Hortiz wants more than just
a "fair…
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment