Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (kulia) na Luis Suarez (kushoto) wakishangilia baada ya kila mmoja kufunga katika ushindi wa 6-2 dhidi ya Real Betis Uwanja wa Camp Nou leo kwenye mchezo wa La Liga. Messi alifunga mabao mawili dakika za 37 na 57, wakati Suarez alifunga matatu dakika za 42, 57 na 82, bao lingine la Barca likifungwa na Arda Turan dakika ya sita, huku mabao ya Real Betis yakifungwa na
Ruben Castro dakika ya 21 na 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ruben Castro dakika ya 21 na 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment