• HABARI MPYA

    Monday, August 15, 2016

    MUSSA HASSAN MGOSI MGUNYA ALIVYOWAAGA SIMBA SC JANA

    Aliyekuwa Nahodha wa Simba, Mussa Hassan Mgosi Mgunya akipunga mkono kuwaaga mashabiki wa timu yake jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya kucheza kwa dakika tatu mechi ya kirafiki ya kumuaga dhidi ya URA ya Uganda, iliyomalizika kwa sare ya 1-1
    Mgosi alipokewa familia yake iliyoongozwa na mkewe, Jasmine baada ya dakika tatu za kucheza dhidi ya URA
    Hapa anatoka uwanjani kumpisha Jamal Mnyate 
    Hapa anasindikizwa na Shizza Kichuya kwenda nje
    Hapa anamrithisha Unahodha wa timu Jonas Mkude 
    Hapa ni baada tu ya mchezo kusimama ili aage, akiwa ameshika mpira anapiga makofi
    Hapa ni wakati anaiongoza timu kuingia uwanjani kwa mara ya mwisho kama Nahodha
    Hii ndiyo familia ya Mgosi, mkewe, wanawe na mpwa wake, Amina (kushoto) aliyewahi kuwa mke wa mchezaji mwenzake wa zamani wa Simba, Athumani Machuppa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MUSSA HASSAN MGOSI MGUNYA ALIVYOWAAGA SIMBA SC JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top