MUSSA HASSAN MGOSI MGUNYA ALIVYOWAAGA SIMBA SC JANA
Aliyekuwa Nahodha wa Simba, Mussa Hassan Mgosi Mgunya akipunga mkono kuwaaga mashabiki wa timu yake jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya kucheza kwa dakika tatu mechi ya kirafiki ya kumuaga dhidi ya URA ya Uganda, iliyomalizika kwa sare ya 1-1
Mgosi alipokewa familia yake iliyoongozwa na mkewe, Jasmine baada ya dakika tatu za kucheza dhidi ya URA
Hapa anatoka uwanjani kumpisha Jamal Mnyate
Hapa anasindikizwa na Shizza Kichuya kwenda nje
Hapa anamrithisha Unahodha wa timu Jonas Mkude
Hapa ni baada tu ya mchezo kusimama ili aage, akiwa ameshika mpira anapiga makofi
Hapa ni wakati anaiongoza timu kuingia uwanjani kwa mara ya mwisho kama Nahodha
Hii ndiyo familia ya Mgosi, mkewe, wanawe na mpwa wake, Amina (kushoto) aliyewahi kuwa mke wa mchezaji mwenzake wa zamani wa Simba, Athumani Machuppa
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment