Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji (wa pili kushoto) akizungumza na wadau mbalimbali wa klabu hiyo leo kwenye Mkutano Mkuu wa dharula ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam
Wanachama wa Yanga wakiwa wamesimami masanduku ya kura wakati wa Mkutano huo. Masanduku haya ambayo hata hivyo hayakufanya kazi iliyokusudiwa, yalitolewa ili kupiga kura za kuwakataa Wajumbe wa Kamati ya Utendaji, Ayoub Nyenzi, Salum Mkemi na Hashim Abdallah waliotofautiana na Mwenyekiti
Wanachama wa Yanga wakifuatilia Mkutano huo leo kwa makini ukumbi wa Diamond Jubilee
Wanachama wa Yanga wakifuatilia Mkutano huo leo kwa makini ukumbi wa Diamond Jubilee
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Samuel Lukumay (kushoto) na Katibu, Baraka Deusdedit (kulia)
Mjumbe wa Baraza la Wadhamini, Francis Kifukwe (kulia) na Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga
Viongozi wa zamani wa klabum, Isaac Chanji na Mussa Katabaro (kulia)
Wanachama wa Yanga wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti wao, Manji (hayupo pichani) leo
Kushoto ni Abdallah Ahmed Bin Kleb ni kulia ni 'Profesa' Bakili Makele
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment