Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji (wa pili kushoto) akizungumza na wadau mbalimbali wa klabu hiyo leo kwenye Mkutano Mkuu wa dharula ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam
Wanachama wa Yanga wakiwa wamesimami masanduku ya kura wakati wa Mkutano huo. Masanduku haya ambayo hata hivyo hayakufanya kazi iliyokusudiwa, yalitolewa ili kupiga kura za kuwakataa Wajumbe wa Kamati ya Utendaji, Ayoub Nyenzi, Salum Mkemi na Hashim Abdallah waliotofautiana na Mwenyekiti
Wanachama wa Yanga wakifuatilia Mkutano huo leo kwa makini ukumbi wa Diamond Jubilee
Wanachama wa Yanga wakifuatilia Mkutano huo leo kwa makini ukumbi wa Diamond Jubilee
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Samuel Lukumay (kushoto) na Katibu, Baraka Deusdedit (kulia)
Mjumbe wa Baraza la Wadhamini, Francis Kifukwe (kulia) na Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga
Viongozi wa zamani wa klabum, Isaac Chanji na Mussa Katabaro (kulia)
Wanachama wa Yanga wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti wao, Manji (hayupo pichani) leo
Kushoto ni Abdallah Ahmed Bin Kleb ni kulia ni 'Profesa' Bakili Makele
„Jetzt müssen wir den Pokal auch holen“
-
Die Stimmen zum Spiel und zum Finaleinzug von Hans-Joachim Watzke,
Sebastian Kehl, Edin Terzic, Emre Can, Mats Hummels, Marco Reus, Julian
Brandt und Nico ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment