Mwanariadha wa Ethiopia Almaz Ayana akiinua mikono kushangilia baada ya kumaliza mbio za mita 10,000 kwa kuvunja rekodi ya dunia akitumia muda wa dakika 29 na sekunde 17.45, hivyo kutwaa Medali ya Dhahabu mjini Rio, Brazil. Mkenya, Vivian Cheruiyot alishinda Medali ya Fedha, mbele ya Mhabeshi mwingine, Tirunesh Dibaba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Zach Wilson to Wear No. 10 Broncos Jersey After Trade from Jets
-
Quarterback Zach Wilson will have a new number to accompany his fresh start
with the Denver Broncos. The Broncos finalized the jersey numbers for their…
26 seconds ago
0 comments:
Post a Comment