• HABARI MPYA

    Thursday, August 18, 2016

    BRAZIL WAITANDIKA HONDURAS 6-0 NA KUTINGA FAINALI OLIMPIKI

    Nyota wa Barcelona, Neymar akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Brazil katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Honduras jana Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro katika mchezo wa Nusu Fainali Olimpiki 2016 soka. Neymar alifunga tena kwa penalti, wakati mabao mengine ya Brazil yalifungwa na mchezaji mpya wa Manchester City, Gabriel Jesus mawili, beki wa Paris Saint-Germain, Marquinhos aliyejifunga na Luan. Brazil sasa itamenyana na Ujerumani katika fainali ambayo imeitoa Nigeria kwa kuichapa 2-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRAZIL WAITANDIKA HONDURAS 6-0 NA KUTINGA FAINALI OLIMPIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top