Nyota wa Barcelona, Neymar akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Brazil katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Honduras jana Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro katika mchezo wa Nusu Fainali Olimpiki 2016 soka. Neymar alifunga tena kwa penalti, wakati mabao mengine ya Brazil yalifungwa na mchezaji mpya wa Manchester City, Gabriel Jesus mawili, beki wa Paris Saint-Germain, Marquinhos aliyejifunga na Luan. Brazil sasa itamenyana na Ujerumani katika fainali ambayo imeitoa Nigeria kwa kuichapa 2-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wheatley reacts to historic 'honour'
-
See what 18-year-old Ethan said, after becoming the club's 250th player to
graduate from the Academy.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment