Nyota wa Barcelona, Neymar akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Brazil katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Honduras jana Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro katika mchezo wa Nusu Fainali Olimpiki 2016 soka. Neymar alifunga tena kwa penalti, wakati mabao mengine ya Brazil yalifungwa na mchezaji mpya wa Manchester City, Gabriel Jesus mawili, beki wa Paris Saint-Germain, Marquinhos aliyejifunga na Luan. Brazil sasa itamenyana na Ujerumani katika fainali ambayo imeitoa Nigeria kwa kuichapa 2-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal do NOT look like champions in waiting: Why Declan Rice is a concern
for Mikel Arteta and the biggest issue the Gunners boss must solve if they
are to beat Man City to the title, writes CRAIG HOPE
-
CRAIG HOPE: The good news for Mikel Arteta is that there are only four
league games to play, not 14. It is a small enough number to negotiate
through grit,...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment