Nyota wa Barcelona, Neymar akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Brazil katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Honduras jana Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro katika mchezo wa Nusu Fainali Olimpiki 2016 soka. Neymar alifunga tena kwa penalti, wakati mabao mengine ya Brazil yalifungwa na mchezaji mpya wa Manchester City, Gabriel Jesus mawili, beki wa Paris Saint-Germain, Marquinhos aliyejifunga na Luan. Brazil sasa itamenyana na Ujerumani katika fainali ambayo imeitoa Nigeria kwa kuichapa 2-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy great thought he was going to die when he saved teen from drowning in
a rip: 'I'm not going to make it'
-
Former Manly rugby league star Charlie Haggett has revealed how he thought
he'd drown at a NSW beach after saving a distressed boy who was caught in a
dang...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment