Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya kulitwaa kufuatia kuifunga mabao 3-0 Sevilla Uwanja wa Camp Nou na kulibeba kwa ushindi wa jumla wa 5-0 kufuatia awali kushinda 2-0 ugenini. Mabao ya Barca jana yalifungwa na Ardur Turan mawili na Lionel Messi moja, wakati kipa Claudio Bravo anayetakiwa na Manchester City alicheza penalti ya Vicente Iborr wa Sevilla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment