Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya kulitwaa kufuatia kuifunga mabao 3-0 Sevilla Uwanja wa Camp Nou na kulibeba kwa ushindi wa jumla wa 5-0 kufuatia awali kushinda 2-0 ugenini. Mabao ya Barca jana yalifungwa na Ardur Turan mawili na Lionel Messi moja, wakati kipa Claudio Bravo anayetakiwa na Manchester City alicheza penalti ya Vicente Iborr wa Sevilla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MSANIFU MKONGWE AACHA URITHI WA MAARIFA CHUO KIKUU ARDHI DAR ES SALAAM
-
*Mkuu wa Skuli ya Ubunifu Majengo, Usimamizi na Uchumi Ujenzi wa Chuo Kikuu
Ardhi (ARU), Profesa Livin Mosha akipokea sehemu ya vitabu vya usanifu
majen...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment