Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya kulitwaa kufuatia kuifunga mabao 3-0 Sevilla Uwanja wa Camp Nou na kulibeba kwa ushindi wa jumla wa 5-0 kufuatia awali kushinda 2-0 ugenini. Mabao ya Barca jana yalifungwa na Ardur Turan mawili na Lionel Messi moja, wakati kipa Claudio Bravo anayetakiwa na Manchester City alicheza penalti ya Vicente Iborr wa Sevilla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves explore January deal for Kalvin Phillips, Aston Villa press on with
move for Ruben Loftus-Cheek... and Man United defender heads to Norwich:
TRANSFER WINDOW WATCH
-
The transfer window is open and here are today's developments from Daily
Mail Sport's Simon Jones, including the West Ham star wanted by Turkish
giants Gal...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment