Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya kulitwaa kufuatia kuifunga mabao 3-0 Sevilla Uwanja wa Camp Nou na kulibeba kwa ushindi wa jumla wa 5-0 kufuatia awali kushinda 2-0 ugenini. Mabao ya Barca jana yalifungwa na Ardur Turan mawili na Lionel Messi moja, wakati kipa Claudio Bravo anayetakiwa na Manchester City alicheza penalti ya Vicente Iborr wa Sevilla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City vs Chelsea - FA Cup semi-final: Live score, team news and updates
as Pep Guardiola's side look to bounce back after Champions League exit -
PLUS action from the Premier League's 3pm kick-offs
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Manchester City take on Chelsea in the FA Cup semi-final at Wembley
Stadium.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment