• HABARI MPYA

    Thursday, August 18, 2016

    BARCELONA WABEBA SUPER CUP YA HISPANIA, WAIPIGA SEVILLA 3-0

    Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya kulitwaa kufuatia kuifunga mabao 3-0 Sevilla Uwanja wa Camp Nou na kulibeba kwa ushindi wa jumla wa 5-0 kufuatia awali kushinda 2-0 ugenini. Mabao ya Barca jana yalifungwa na Ardur Turan mawili na Lionel Messi moja, wakati kipa Claudio Bravo anayetakiwa na Manchester City alicheza penalti ya Vicente Iborr wa Sevilla PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA WABEBA SUPER CUP YA HISPANIA, WAIPIGA SEVILLA 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top