Nahodha wa Nigeria, John Obi Mikel akiwa amejiinamia baada ya kufungwa 2-0 na Ujerumani katika Nusu Fainali ya Michezo ya Olimpiki jana mjini Sao Paulo, Brazil. Mabao ya Ujerumani ambayo sasa itamenyana na Brazil katika fainali Jumamosi Uwanja wa Maracana, yalifungwa na Lukas Klosertmann na Nils Peterson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raducanu falls to Swiatek in Stuttgart quarter-finals
-
Britain's Emma Raducanu falls to world number one and defending champion
Iga Swiatek in the quarter-finals of the Stuttgart Open.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment