• HABARI MPYA

    Thursday, August 18, 2016

    NIGERIA YANG'OLEWA OLIMPIKI, YAPIGWA 2-0 NA UJERUMANI

    Nahodha wa Nigeria, John Obi Mikel akiwa amejiinamia baada ya kufungwa 2-0 na Ujerumani katika Nusu Fainali ya Michezo ya Olimpiki jana mjini Sao Paulo, Brazil. Mabao ya Ujerumani ambayo sasa itamenyana na Brazil katika fainali Jumamosi Uwanja wa Maracana, yalifungwa na Lukas Klosertmann na Nils Peterson PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NIGERIA YANG'OLEWA OLIMPIKI, YAPIGWA 2-0 NA UJERUMANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top