Wachezaji wa Real Madrid wakisherehekea taji la Super Cup ya UEAFA jana Uwanja wa Lerkendal mjini Rosenborg, Norway baada ya kuwafunga kwa Sevilla 3-2 ndani ya dakika 120. Mabao ya Real iliyowakosa nyota wake kama Pepe, Gareth Bale na Cristiano Ronaldo yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 21, Nahodha Sergio Ramos dakika ya 90 na ushei na Dani Carvajal dakika ya 119, wakati ya Sevilla yalifungwa na Franco Vazquez dakika ya 41 na Yevhen Konoplyanka dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League icon looks unrecognisable in this throwback snap... so can
you figure out who the former star, who has been back in the headlines this
week, is?
-
The former midfielder, who enjoyed plenty of success in their career, will
welcome his third child later this year - 18 years after the last - after
it was...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment