• HABARI MPYA

    Wednesday, August 10, 2016

    BILA RONALDO, BALE REAL WAINUA 'NDOO' YA UEFA SUPER CUP

    Wachezaji wa Real Madrid wakisherehekea taji la Super Cup ya UEAFA jana Uwanja wa Lerkendal mjini Rosenborg, Norway baada ya kuwafunga kwa Sevilla 3-2 ndani ya dakika 120. Mabao ya Real iliyowakosa nyota wake kama Pepe, Gareth Bale na Cristiano Ronaldo yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 21, Nahodha Sergio Ramos dakika ya 90 na ushei na Dani Carvajal dakika ya 119, wakati ya Sevilla yalifungwa na Franco Vazquez dakika ya 41 na Yevhen Konoplyanka dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BILA RONALDO, BALE REAL WAINUA 'NDOO' YA UEFA SUPER CUP Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top