Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akinyoosha mkono kufurahia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 41, 78 na 89 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Steaua-Bucharest kwenye mchezo wa kuwania hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nationala mjini Bucharest, Romania. Mabao mengine ya City ambayo pamoja na Steaua-Bucharest zinatinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa yamefungwa na David Silva dakika ya 13 na Nolito dakika ya 49, wakati Aguero pia alikosa penalti mbili dakika ya nane na 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment