• HABARI MPYA

    Wednesday, August 17, 2016

    AGUERO APIGA HAT TRICK, AKOSA PENALTI MBILI MAN CITY IKIUA 5-0 NA KUFUZU MAKUNDI LIGI YA MABINGWA

    Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akinyoosha mkono kufurahia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 41, 78 na 89 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Steaua-Bucharest kwenye mchezo wa kuwania hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nationala mjini Bucharest, Romania. Mabao mengine ya City ambayo pamoja na Steaua-Bucharest zinatinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa yamefungwa na David Silva dakika ya 13 na Nolito dakika ya 49, wakati Aguero pia alikosa penalti mbili dakika ya nane na 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AGUERO APIGA HAT TRICK, AKOSA PENALTI MBILI MAN CITY IKIUA 5-0 NA KUFUZU MAKUNDI LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top