Ousmane Dembele (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Paul Pogba baada ya kuifungia Ufaransa bao la tatu dakika ya 63 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Italia usiku wa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Mabao mengine ya Ufaransa inayojiandaa na Kombe la Kombe la Dunia yalifungwa na Samuel Umtiti dakika ya nane na Antoine Griezmann kwa penalti dakika ya 29, wakati la Italia lilifungwa na Leonardo Bonucci dakika ya 36 akimalizia mpira wa adhabu wa Mario Balotelli PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vince McMahon Sells Final TKO Shares for $776M+ to End WWE Ties After 50+
Years
-
WWE co-founder Vince McMahon is ending his association with the promotion
after 55 years with the sale of his 8.02 million TKO Group Holdings shares,
which…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment