• HABARI MPYA

    Sunday, June 17, 2018

    MEXICO YAWATULIZA UJERUMANI, YAWAPIGA 1-0 KOMBE LA DUNIA

    Hirving Lozano akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao pekee Mexico dakika ya 35 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Ujerumani leo Uwanja wa Luzhniki mjini Moscwo, Urusi kwenye mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MEXICO YAWATULIZA UJERUMANI, YAWAPIGA 1-0 KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top