• HABARI MPYA

    Monday, June 18, 2018

    LUKAKU AFUNGA MAWILI UBELGIJI YAICHAPA 3-0 PANAMA


    Mshambuliaji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji mabao mawili dakika za 69 na 75 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Panama kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi, Urusi. Bao la kwanza lilifungwa na Dries Mertens dakika ya 47 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AFUNGA MAWILI UBELGIJI YAICHAPA 3-0 PANAMA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top