Wachezaji wa Ufaransa wakimpongeza mwenzao, Kylian Mbappe aliyefunga mabao mawili dakika ya 64 na 68 katika ushindi wa 4-3 dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Kazan Arena, Urusi. Mabao mengine ya Ufaransa yamefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 13 kwa penalti na Benjamin Pavard dakika ya 57, wakati ya Argentina yamefungwa na Angel Di Maria dakika ya 41, Gabriel Mercado dakika ya 48 na Sergio Aguero dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment