Yuya Osako (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Japan dakika ya 73 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Colombia kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Uwanja wa Mordovia Arena mjini Saransk, Urusi. Wengine ni Yuto Nagatomo (kushoto) na Maya Yoshida. Bao la Kwanza la Japan lilifungwa na Shinji Kagawa dakika ya sita kabla ya Juan Fernando Quintero kuisawazishia Colombia dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Queensland Government 'consider SCRAPPING the Brisbane 2032 Olympic Games'
after public backlash... but are warned pulling out will cost $500MILLION
-
9News has reported that the Queensland discussed the possibility of pulling
out of hosting duties, in a move that would send shockwaves throughout the
spor...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment