Cristiano Ronaldo (kulia) akigombea mpira na kipa wa Iran, Ali Beiranvand katika mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia leo Uwanja wa Mordovia Arena mjini Saransk nchini Urusi, timu hizo zikitoka 1-1 mwanasoka huyo bora wa dunia akikosa penalti iliyookolewa na mlinda mlango huyo dakika ya 53. Ureno ilitangulia kwa bao la Ricardo Quaresmadakika ya 45, kabla ya Karim Ansarifard kuisawazishia kwa penalti Iran dakika ya 90 na ushei. Ureno imefuzu hatua ya 16 Bora kama mshindi wa pili wa Kundi B kwa pointi zake tano sawa na Hispania waliomaliza juu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment