Mshambuliaji Edinson Cavani akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Uruguay dakika za saba (7) na 62 ikiilaza Ureno 2-1 Ureno katika hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi, Urusi na sasa itakutana na Ufaransa katika Robo Fainali. Bao la Ureno lilifungwa na Pepe dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Academy Weekly: Graduates inspire FA Cup victory
-
Our round-up covers wins for the Under-18s and Under-21s, as well as former
youth-team players' roles against Liverpool.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment