Ahmed Musa akishangilia baada ya kuifungia Nigeria mabao yote dakika za 49 na 75 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia leo Uwanja wa Volgograd Arena nchini Urusi, kabla ya Gylfi Sigurdsson kukosa penalti dakika ya 83 na kuikosesha timu yake japo bao la kufutia machozi. Nigeria sasa itakutana na Argentina katika mchezo mkali wa mwisho wa Kundi D Jumanne ijayo kuwania kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment