Iago Aspas akiifungia bao la kusawazisha Hispania dakika ya 90 na ushei katika sare ya 2-2 na Morocco kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad, Urusi. Bao lingine la Hispania limefungwa na Isco dakika ya 19, wakati mabao ya Morocco yamefungwa na Khalid Boutaib dakika ya 14 na Youssef En-Nesyri dakika ya 81. Hispania imemaliza kileleni mwa Kundi B kwa pointi zake tano sawa na Ureno na zote zinakwenda 16 Bora PICHA ZAIDIGONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment