• HABARI MPYA

    Saturday, June 23, 2018

    SHAQIRI AIFUNGIA LA USHINDI USWISI IKIILAZA SERBIA 2-1

    Mshambuliaji wa Stoke City, Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Uswisi dakika ya 89 ikiilaza Serbia 2-1 katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad nchini Urusi. Aleksandar Mitrovic alianza kuifungia Serbia dakika ya tano kabla ya Granit Xhaka kuisawazishia Uswisi dakika ya 52 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHAQIRI AIFUNGIA LA USHINDI USWISI IKIILAZA SERBIA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top