Mshambuliaji wa Stoke City, Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Uswisi dakika ya 89 ikiilaza Serbia 2-1 katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad nchini Urusi. Aleksandar Mitrovic alianza kuifungia Serbia dakika ya tano kabla ya Granit Xhaka kuisawazishia Uswisi dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England beat New Zealand in T20 series opener
-
Heather Knight's 63 from 39 balls set up a comfortable win for England in
the first T20 against New Zealand.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment