• HABARI MPYA

    Thursday, June 28, 2018

    COLOMBIA YAITUPA NJE SENEGAL KOMBE LA DUNIA, AFRIKA...

    Beki wa Colombia, Yerry Mina akipiga magoti kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi timu yake dakika ya 74 ikiilaza 1-0 Senegal katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia leo Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Kwa matokeo hayo, Colombia imeungana na Japan kwenda hatua ya 16 Bora, huku Senegal ikiungana na timu nyingine za Afrika, Nigeria, Morocco, Misri na Tunisia kuaga mashindano huku Poland nayo ikitolewa pamoja na kushinda 1-0 dhidi ya Japan 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COLOMBIA YAITUPA NJE SENEGAL KOMBE LA DUNIA, AFRIKA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top