Mohamed Salah akiifungia Misri bao la kwanza dakika ya 22 wakifungwa mabao 2-1 na Saudi Arabia katika mchezo wa Kundi A Kombe la Dunia Uwanja wa Volgograd Arena nchini Urusi na kutolewa kwenye michuano hiyo waliyokuwa wakishiriki kwa mara ya kwanza tangu 1990. Hiyo ni baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay Juni 15 na 3-1 na Urusi Juni 19 katika mechi zake mbili za kwanza. Mabao ya Saudi Arabia iliyopata ushindi wa kwanza Kombe la Dunia tangu mwaka 1994 yamefungwa na Salman Al Faraj kwa penalti dakika ya 45 na ushei na Salem Al Dawsari dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Salzburg 0-2 Liverpool: European champions through to the last-16 as group winners
-
MARTIN SAMUEL AT THE RED BULL ARENA: It was a very good night for
Liverpool, less so for those English teams competing in the Europa League,
a competition ...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment