• HABARI MPYA

    Friday, June 29, 2018

    RONALDO ALIVYO TAYARI KWA KAZI NA URUGUAY KESHO

    Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa mwenye kujiamini wakati wa mazoezi ya Ureno leo kuelekea mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia kesho dhidi ya Uruguay Uwanja wa Fisht 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO ALIVYO TAYARI KWA KAZI NA URUGUAY KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top