Kiungo Steven Zuber akishangilia kwenye kibendera cha kona baada ya kuifungia bao la kusawazisha Uswisi dakika ya 50 katika sare ya 1-1 na Brazil leo kwenye mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi, kufuatia Philippe Coutinho kuanza kuwafungia wenyeji wa fainali zilizopita mwaka 2014 dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment