• HABARI MPYA

    Monday, June 18, 2018

    ZUBER AWAPOKONYA USHINDI BRAZIL KOMBE LA DUNIA

    Kiungo Steven Zuber akishangilia kwenye kibendera cha kona baada ya kuifungia bao la kusawazisha Uswisi dakika ya 50 katika sare ya 1-1 na Brazil leo kwenye mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi, kufuatia Philippe Coutinho kuanza kuwafungia wenyeji wa fainali zilizopita mwaka 2014 dakika ya 20 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ZUBER AWAPOKONYA USHINDI BRAZIL KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top