Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa haamini macho yake baada ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia wakitolewa na Uruguay kwa kufungwa Ureno 2-1 Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi leo. Ronaldo wa klabu ya Real Madrid, anaungana na hasimu wa La Liga, Lionel Messi wa Barcelona ambaye timu yake, Argentina imetolewa na Ufaransa leo pia katika mchezo uliotangulia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment