• HABARI MPYA

    Wednesday, June 20, 2018

    ULIMWENGU AONYESHA YUKO FITI NA TAYARI KWA KAZI SUDAN

    Mshambuliaji mpya wa Al Hilal ya Sudan, Thomas Ulimwengu akiwatoka wenzake wakati wa mazoezi juzi mjini Khartoum. Ulimwengu anarejea uwanjani akiwa na klabu mpya, baada ya kukaa nje kwa mwaka mzima kufuatia kuumia akiwa na AFC Eskilstuna ya Sweden mwaka jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ULIMWENGU AONYESHA YUKO FITI NA TAYARI KWA KAZI SUDAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top