Mshambuliaji wa Brazil, Neymar (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake, Casemiro na Douglas Costa kushangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida za mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi, baada ya Philippe Coutinho kufunga la kwanza dakika ya 90 na ushei pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB Rumors: Blake Snell, Giants Agree to 2-Year, $62M Contract amid Astros
Buzz
-
The San Francisco Giants snagged the best starting pitcher still on the
market, agreeing to terms with Blake Snell on a two-year, $62 million
contract,…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment