• HABARI MPYA

    Tuesday, June 19, 2018

    SENEGAL YAANZA VYEMA, YAICHAPA POLAND 2-1 KOMBE LA DUNIA

    Wachezaji wa Senegal wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Thiago Cionek aliyejifunga dakika ya 37 baada ya kubabatizwa na shuti la Idrissa Gana Gueye katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia leo Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Bao la pili la Senegal limefungwa na Mbaye Niang dakika ya 60, kabla ya Grzegorz Krychowiak kuifungia bao la kufutia machozi Poland dakika ya 86 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SENEGAL YAANZA VYEMA, YAICHAPA POLAND 2-1 KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top