• HABARI MPYA

    Friday, June 29, 2018

    UBELGIJI YAICHAPA ENGLAND 1-0 LAKINI ZOTE ZAFUZU 16 BORA

    Adnan Januzaj akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya England kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia. Kwa matokeo hayo, Ubelgiji inamaliza katika nafasi ya kwanza kwenye Kundi G kwa pointi zake tisa, ikifuatiwa na England yenye pointi sita na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora huku Tunisia na Panama zikiishia hapa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UBELGIJI YAICHAPA ENGLAND 1-0 LAKINI ZOTE ZAFUZU 16 BORA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top