Adnan Januzaj akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya England kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia. Kwa matokeo hayo, Ubelgiji inamaliza katika nafasi ya kwanza kwenye Kundi G kwa pointi zake tisa, ikifuatiwa na England yenye pointi sita na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora huku Tunisia na Panama zikiishia hapa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment