Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya Argentina kuchapwa 3-0 na Croatia katika mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Alhamisi Uwanja wa Nizhny Novgorod nchini Urusi, mabao ya Ante Rebic dakika ya 53, Luka Modric dakika ya 80 na Ivan Rakitic dakika ya 90 na ushei. Mechi ya kwanza Argentina ilitoa sare 1-1 na Iceland na sasa watalazimiak kuifunga Nigeria katika mchezo wa mwisho Juni 26 kuangalia uwezekano wa kwenda Raundi ya Pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment