• HABARI MPYA

    Saturday, June 30, 2018

    KWAHERI MESSI, UFARANSA YASUBIRI MSHINDI KATI YA URUGUAY NA URENO

    Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akiondoka kinyonge baada ya mchezo  hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Kazan Arena, Urusi timu yake ikichapwa mabao 4-3 na Ufaransa na kutolewa. Sasa Ufaransa itakutana na mshindi kati ya Uruguay na Ureno kwenye Robo Fainali 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KWAHERI MESSI, UFARANSA YASUBIRI MSHINDI KATI YA URUGUAY NA URENO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top