• HABARI MPYA

    Saturday, June 02, 2018

    POLE MHESHIMIWA DK MWIGULU...'THIS IS FOOTBALL'

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mheshimiwa Dk. Mwigulu Lameck Nchemba (kulia) akifuatilia kwa makini kabisa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) kati ya timu ya Singida United na Mtibwa Sugar Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha leo 
    Waziri Mwigulu Lameck Nchemba pia ni Rais wa Singida United ambayo leo imelambwa 3-2 na Mtibwa Sugar  
    Waziri Mwigulu Nchemba akizungumza na Mkurugenzi wa Singida United wakati mchezo ukiendelea dakika za mwishoni 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: POLE MHESHIMIWA DK MWIGULU...'THIS IS FOOTBALL' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top