• HABARI MPYA

    Saturday, June 02, 2018

    PETER SCHMEICHEL BADO TUPO NAYE KWENYE SOKA

    Kipa wa zamani wa Manchester United, Peter Schmeichel (mwenye kofia na miwani) akifuatia mchezo wa Kundi A wa timu za taifa za vijana chini ya umri wa miaka 21 za England na Qatar katika michuano ya Toulon jana. England ilishinda 4-0, mabao ya Alhama Wende, Ronaldo Vieira, Tammy Abraham na Adam Armstrong PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PETER SCHMEICHEL BADO TUPO NAYE KWENYE SOKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top