Gwiji wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Osmund Mbilinyi ‘Mr II Sugu’ (kulia) katika suti ya jeans akiwa na mwanamuziki wa bendi ya Msondo Ngoma, Roman Mng’ande ‘Romario’ kwenye ukumbi wa TCC Chang’ombe, Dar es Salaam mwaka 2002 wakati wa onyesho la bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’. Sugu sasa akitamba kwa jina la Jongwe ni Mbunge wa Mbeya Mjini na zaidi amavaa ‘suti laini’ na si za kigumu tena kama hizi
ASHES PLAYER RATINGS - THIRD TEST: England duo each given a TWO after
'mental disintegration' in Adelaide while Australian hero nearly scores a
perfect 10 - but his team-mate is 'out of his depth'
-
LAWRENCE BOOTH IN ADELAIDE: England's quest to win an Ashes series Down
Under has failed once again after losing the third Test by 82 runs to
condemn them ...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment