Mfungaji wa mabao yote mawili ya Azam FC, Mghana Yahya Mohammed katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji URA katika mchezo wa kirafiki uliofanyika jana Uwanja wa Phillip Omondi, Kampala, Uganda akiwatoka mabeki wa timu hiyo
Winga Mghana, Enock Atta Agyei akipiga shuti mbele ya wachezaji wa URA
Beki David Mwantika aliyekuwa Nahodha wa timu jana akiondoka na mpira
Kiungo Joseph Mahundi akiondoka na mpira jana
Kikosi cha Azam FC kilichoanza katika mechi ya jana
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment