Danny Welbeck akiwa amempanda mgongoni mshambuliaji mpya wa Arsenal, Alexandre Lacazette kutoka Lyon ya Ufaransa baada ya kuifungia The Gunners bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 4-3 kwenye mchezo wwa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England usiku wa Ijumaa Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Welbeck dakika ya 45, Aaron Ramsey dakika ya 83 na Olivier Giroud dakika ya 85 wakati ya Leicester yamefungwa na Shinji Okazaki dakika ya tano, Marc Albrighton dakika ya 29 na Jamie Vardy dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A.J. Brown sparks Patriots trade rumors after he changes profile picture to
Tom Brady... but Eagles receiver says there's nothing in him honoring the
'greatest ever'
-
Eagles star A.J. Brown sparked trade rumors on Thursday when he changed his
profile picture on social media to Tom Brady.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment