Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the telling sign under-fire Latrell Mitchell has finally got his
priorities right after making a heartfelt apology to his teammates
-
Suspended Souths star Latrell Mitchell has been under fire since the first
week of the season and is currently serving a three-week suspension as his
team ...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment