Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bukayo Saka launches his own Nando's sauce! Arsenal's star man brings out
the 'PERi-PERi Saka Sauce' with his favourite flavours as he gears up for
England international duty
-
The Arsenal star has teamed up with the restaurant chain to produce the
'PERi-PERi Saka Sauce' with his most-loved flavours.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment