Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Life-sized Ballesteros statue goes missing
-
Spanish authorities are investigating after a bronze statue commemorating
five-time major winner Seve Ballesteros disappears in his hometown in Spain.
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment