Mshambuliaji Mbelgiji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 37 akimalizia pasi ya 'mshikaji' wake, Mfaransa Paul Pogba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu, Manchester City Alfajiri yaa leo Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 39 akimalizia pasi ya Henrikh Mkhitaryan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Just not good enough' - Klopp takes blame for derby defeat
-
Liverpool manager Jurgen Klopp says his side were "just not good enough" in
their 2-0 Premier League defeat to Merseyside rivals Everton at Goodison
Park.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment