Mshambuliaji Mbelgiji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 37 akimalizia pasi ya 'mshikaji' wake, Mfaransa Paul Pogba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu, Manchester City Alfajiri yaa leo Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 39 akimalizia pasi ya Henrikh Mkhitaryan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Doting parents Wayne and Coleen Rooney watch son Kai, 16, make Old Trafford
debut - with Michael Carrick and Man United head honchos packing director's
box for U18s game
-
NATHAN SALT AT OLD TRAFFORD: Man United's new head coach headed out to
support the Under-18s in the FA Youth Cup against Derby County, with Rooney
alongsid...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment