• HABARI MPYA

    Friday, July 21, 2017

    LUKAKU AFANYA KILICHOMPELEKA MAN UNITED...CITY WAFA 2-0

    Mshambuliaji Mbelgiji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United  bao la kwanza dakika ya 37 akimalizia pasi ya 'mshikaji' wake, Mfaransa Paul Pogba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu, Manchester City Alfajiri yaa leo Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 39 akimalizia pasi ya Henrikh Mkhitaryan PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AFANYA KILICHOMPELEKA MAN UNITED...CITY WAFA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top