Mshambuliaji Mbelgiji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 37 akimalizia pasi ya 'mshikaji' wake, Mfaransa Paul Pogba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu, Manchester City Alfajiri yaa leo Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 39 akimalizia pasi ya Henrikh Mkhitaryan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment